Home Mapishi Mahamri ya kusuka na maziwa

Mahamri ya kusuka na maziwa

by komzinski
Hamri la kusuka la maziwa

Jinsi ya kutengeneza Mahamri ya kusuka la maziwa

Mahitaji

Unga ngano nusu kilo
Maziwa robo
Sukari nusu kikombe
Maziwa robo lita
Hamira kijiko kimoja kidogo
Samli vijiko viwili
Iliki robo kijiko kidogo iloyosagwa
Mafuta ya uto kijiko kimoja kidogo

Namna ya kupika

  • Unga na samli wauchanganya hadi uchanganyike vizuri kisha weka iliki yako
  • Tia hamira pamoja na maziwa, kanda mpaka unga ulainike
  • Kisha gawanya mara tatu, sokota zote tatu alafu zote tatu wafanya kama kuzisonga.
  • Ukishamaliza wachukua sufuria yako safi, wapaka mafuta yako kwa wembamba.
  • Wemba unga uliokandwa kwenye sufuria , oka kwa muda wa takriban dakika ishirini.
  • Andaa kwa chai ya maziwa

Hamri la kusuka la maziwa

Hamri la kusuka la maziwa - Malindians.com

  • ½ kg Unga ngano
  • ½ cup Sukari
  • ¼ liter Maziwa
  • 1 tbsp Hamira
  • 2 tbsp Samli
  • ¼ tbsp Iliki iloyosagwa
  • 1 tbsp Mafuta ya uto

Namna ya kupika

  1. Unga na samli wauchanganya hadi uchanganyike vizuri

  2. kisha weka iliki yako

  3. Tia hamira pamoja na maziwa

  4. kanda mpaka unga ulainike

  5. Kisha gawanya mara tatu, sokota zote tatu alafu zote tatu wafanya kama kuzisonga.

  6. Ukishamaliza wachukua sufuria yako safi, wapaka mafuta yako kwa wembamba.

  7. Wemba unga uliokandwa kwenye sufuria , oka kwa muda wa takriban dakika ishirini.

  8. Andaa kwa chai ya maziwa

Dessert


Discover more from Malindians.com

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

You may also like

Leave a Comment

This website uses cookies to improve your experience. We'll assume you're ok with this, but you can opt-out if you wish. Accept Read More