Upishi wa watu wa Malindi wa sambusa au samosa kama baadhi ya watu wanavyoita yametajwa kuanzia enzi za karne ya 13 na 14 katika hadithi na ngano za wasafari waliofanya biashara Bara ya Asia. Mtu tajika aliyezungumzia sambusa ni Abolfazl Beyhaqi (995-1077). Siwezi sema ni miaka gani sambusa zilianza Africa Mashariki ila najua zilikuja na wasafiri wa meli kutoka Bara Arabu na Asia.

Discover more from Malindians
Subscribe to get the latest posts sent to your email.
Enjoyed this article?
Subscribe to get more stories like this delivered to your inbox every week.
About komzinski
Contributor
Born, raised, and living in Malindi, Komzinski ( Athuman Komora) share a passion for Malindi town, so unlike many other travel sites you will encounter on your regular web search (including many about Malindi), he has taken time to curate the content of this website to give the most authentic experience as no one can tell you better of Malindi than a person who actually lives, know and experience Malindi.