Shampuzi atoka Radio Jahazi
Entertainment

Shampuzi atoka Radio Jahazi

komzinski
komzinski Travel Writer & Local Guide
Jan 23, 2023 5 min read 313 views

Kwa kipindi cha takribani mwaka mmoja masikio yetu yamezoea sauti ya mtangazaji, Shampuzi katika stesheni mpya kabisa katika mji wa Malindi, Radio Jahazi. Mtangazaji Shampuzi, amewateka wasikizaji hasa masaa ya jioni.

francis shaban shampuzi

Mtandao wa malindians.com umepata habari kuhusu kuondoka kwake kwenye kituo hicho. Hivi ndivyo interview yetu na mtangazaji huyo ilivyoenda:

Malindians: Nakujua kama Shaban Shampuzi, yametoka wapi hayo majina?
Shampuzi: Shaaban Francis ni jina langu rasmi. Shampuzi limetokana na jina nililoanzia “Shaaban jamaa la upuzi “Hii ni baada ya kuwa na majina chungu nzima niliyokuwa nikitumia katika industry.

Malindians:Tuambie kuhusu kazi na taaluma:
Shampuzi: Nilianzia East Africa Institute of Certified Studies ambapo nilifanya diploma ya Mass Communication and Journalism kumalizia 2018. Already nimefanya kazi sehemu tofauti kama ETv, EATV, lulufm ndio nikafika jahazi.

Malindians: umekaa kwa kipindi kifupi Jahazi.
Shampuzi: si kipindi kifupi, nilianza kazi mwaka jana February. So kwa jumla nimemaliza mwaka mzima.

Malindians: so mbona unatoka na kutafuta “greener pastures”?
Shampuzi: Nahisi industry ya media bado iko chini. Na hata kama ina grow, ina grow at a very slow pace. Watu bado hawajatambua umuhimu wa media.

Malindians: mumetokana kivipi, au ni pesa ndio shida?
Shampuzi: Tumeachana na Radio Jahazi vizuri sana. Industry ya Malindi haijaweza kulipa vizuri. Nataka kuangalia bahati yangu Nairobi. Kule mambo yamefunguka vizuri.

Malindians: Tuambie kuhusu wakati uliofanya na Radio jahazi
Shampuzi: Nimejifunza mengi, na nimepatana na watu wa tajriba tofauti tofauti. Hasa nimejifunza uvumilivu na namna ya kukaa na watu. Nimejifunza kuinteract na mafans na watu ambao sikudhania ningepatana nao.

Malindians: Your best moments
Shampuzi: Akifikiria: Nafikiria nikiwa na P3 sauti ya dhahabu (Omar Ngowa) tukifanya kipindi cha jioni cha Kijiweni Drive kila siku kuanzia saa kumi hadi saa mbili usiku. Tulikuwa na chemistry nzuri sana na mwenzangu. Pia mafans wetu wamekuwa pamoja sana na sisi hasa wakati wa gumzo huru kiasi cha kwamba muda huwa unaisha bila ya kutambua kabisa.

Malindians: Changamoto hazikosekani katika kila industry…
Shampuzi: Kazi inahitaji kuwa mbunifu sana. So wakati mwengine ilikuwa changamoto hasa pale ninapokuwa mgonjwa. Hii yote inawezekana unapofanya research ya hali ya juu kabisa.

Malindians: Unawaambia nini mashabiki wako?
Shampuzi: Ningewashukuru sana kwa kunipa fursa na support kwa kipindi nilipokuwa Jahazi. Ninachoahidi kuwa watarajie mambo makubwa kutoka kwangu na sitawaangusha.


Discover more from Malindians

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Enjoyed this article?

Subscribe to get more stories like this delivered to your inbox every week.

Advertisement
vdcasino
hititbet
grandpashabet
vdcasino giriş
hititbet
grandpashabet
vdcasino
imajbet
betpipo
betpark
betpark
betpark
betpark
vdcasino giriş
Vdcasino Giriş
vizebet
piabet
imajbet
avvabet
imajbet
imajbet
vaycasino
Betzula
kralbet
safirbet
bettilt
bettilt
vdcasino
betpark
betpark
betpark
betpark
betpark
betpark
betpark
kralbet
kralbet
imajbet
imajbet
imajbet
betpark giriş
vdcasino giriş
katlabet
katlabet
norabahis
norabahis
betpark
vdcasino
vdcasino
vdcasino
vdcasino
vdcasino
hititbet
hititbet
vdcasino
vdcasino giriş
betorder giriş
milanobet
betpark
betpark
betpark
betpark
betpark
betpark
milanobet
milanobet
meritking
mrking
norabahis
norabahis
betpark
vaycasino
vaycasino
milanobet
milanobet giriş
betorder
milanobet
milanobet giriş
crastosroyalbet
cratosroyalbet
cratosroyalbet
vaycasino
vaycasino giriş
kralbet
kralbet
kolaybet giriş
kolaybet güncel giriş
imajbet
imajbet
imajbet
imajbet
holiganbet
norabahis
norabahis
norabahis
norabahis
cratosroyalbet
imajbet
imajbet
imajbet
imajbet
artemisbet
artemisbet
artemisbet
artemisbet
avvabet
avvabet
avvabet
avvabet
imajbet
imajbet
imajbet
imajbet
kolaybet giriş
kolaybet giriş
betpark